Sunday, May 19, 2013

ANTIVIRUS,VINEGA NA TEAM ANNACONDA WAINGIA BUNGENI LEO


Wasaanii wapiganuia haki ya muziki waliokuwa wakitoa dukuduku lao juu wa unyanyasaji,uonevu na unyonywaji wa kazi yao leo wanaingia bungeni katika bunge la bajeti ambapo leo Wizara ya Habari,Vijana utamaduni na michezo itawasirisha bajeti yake.

Wanamuziki walioingia bungeni leo ni Lady Jaydee.Profesa Jay,Ramadee,Mkoloni na wengine na hii ni kauli ya Profesa Jah wakati ndio wanainguia bungeni

Punde tunaingia ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,fuatilia Bunge tafadhali!.........NYAKATI! 

0 comments:

Post a Comment