Timu ya Young Africans
Sports Club wawakilishi wa Tanzania bara kwenye mashindano ya Klabu
Bingwa Afrika kesho watakwea pipa saa 6 kamili mchana
kuelekea Visiwa
vya Comoro tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya timu ya
Komorozine de Domoni utakaofanyika siku ya jumamosi katika Uwanja
wa stade International Said Mohamed Cheik Mitsamiouli.
Msafara unatarajia
kuwa na watu 30 wakiwemo wachezaji 19 Benchi la Ufundi saba (7)
pamoja na viongozi wanne (4)
Magoli kipa
ni:
Deogratias Munish "Dida" na Ally Mustafa "Barthez"
Walinzi:
Juma Abdul, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, David Luhende, Nadir Haroub
"Cannavaro", Kelvin Yondani na Rajab Zahir
Viungo:
Athuman Idd "Chuji", Frank Domayo "Chumvi",
Haruna Niyonzima, Hassan Dilunga na Hamis Thabit
Washambuliaji:
Hamis Kiiza, Didier Kavumbagu, Said Bahanuzi, Saimon Msuva na Mrisho
Ngasa
0 comments:
Post a Comment