Thursday, February 13, 2014

DJ D-OMMY AMEAMCHIA NON STOP MIX MAALUM KWA WAPENDANAO ISIKILIZE NA DOWNLOAD HAPA

Dj D Ommy ambae anafanya kazi katika Moja ya Radio jijini Dar es Salaam amefanya Mixing maalum kwa ajiri ya wapendanao kama zawadi ya kujenga na
kuimarisha upendo wao kwa kusikiliza nyimbo mbalimbali ambazo zinaujumbe na kuburudisha kutokana na ukali wa nyimbo hizo.

Dj D Ommy ameachia Non stop mix yenye dakika 50 na sekunde 50 aliyoipa jina la ‘The Valentine’s Heart Felt Mixx’ ikiwa na nyimbo za zamani za Tanzania na nje ya nchi zenye jumbe za mapenzi zilizochanganywa kwa weledi wa hali ya juu.
 
Huu ni mfululizo wa mixing kali za mchezea santuri huyu ikizifuatia zile za awali 'The Return Of The Transform Master Vol' 1, na 'Afro Pop Cutz'.

0 comments:

Post a Comment