Klabu
ya Simba Jana ulifanikiwa kuwasajili wachezaji wawili kutoka Klabu ya
Gormahia ya Nchini Kenya,Wachezaji hao ni Kipa Ivo Mapunda na beki wa
kati
wa Gormahia,Donald Mosothi.
Baada
ya Klabu ya Gormahia kudai kuhitaji kumuongezea Mkataba Kipa Ivo
Mapunda na kufanya nao mawasiliano ya kutaka kusaini mkataba tena
katika Klabu hiyo ya Gormahia Uongozi wa Simba ulilazimika kumlipa
Pesa Mke wa Ivo Mapunda kiasi cha Million 15 ili kumuhakikishia kuwa
wanamuhitaji ajiunge na Simba na baadaye uongozi ulifunga safari
mpaka Kenya kwenda kumsainisha mkataba huo.
"Tayari
tulishamkabidhi mke wake shilingi milioni 15,000 jijini Dar es Salaam
jana (Jumatano) kabla ya kuja huku (Nairobi)," Katibu Mkuu wa
Simba Mtawala alisema.
Katibu Mkuu huyo alisema wamelazimika kuja jijini hapa kumsajili baada ya kusikia kuwa klabu yake ya Gor Mahia ina mpango wa kumwongeza mkataba mpya.
Katibu Mkuu huyo alisema wamelazimika kuja jijini hapa kumsajili baada ya kusikia kuwa klabu yake ya Gor Mahia ina mpango wa kumwongeza mkataba mpya.
0 comments:
Post a Comment