Tuesday, November 5, 2013

WANANICHUMBIA WANANIOA NA KUNIACHA-LULU MICHAEL

Mkali wa Bongo Movie ambaye kwa sasa anatamba na movie yake ya Foolish Age Lulu Michael amefunguka na kusema kuwa watu wa magazeti wanamuandika
kila siku mara leo Kachumbiwa,mara kaolewa mara kaachika wanafanya kumuandika vile watakavyo wao kwa malengo yao.

Lulu amefunguka hayo baada ya Mtangazaji wa kituo kimoja cha Radio kumwambia kuwa ameona Gazeti moja la LEO likiwa na habari ya Juu kabisaa kuwa Lulu Michael amechumbiwa.

nimesoma kwenye gazeti la Leo tena front page "Lulu Achumbiwa" nikajishangaa eti nikapata na wivu” alifunguka B12.

Kufuatia Habari hiyo aliyoipata kupitia kwa Mtangazji huyo Lulu aliongeza na kusema kuwa mbona hao waoaji hawafiki kwa Mama yake na kujitambulisha rasmi ikifahamika au wanaoa wakiwa ndotoni?aliuliza.

mbna hao wachumbiaji hawafiki kwa mama lulu!?wananichumbia ndotoni ama!?”

Mwishoo wa siku alimaliza kwa kusema haya hao magazeti wananichumbia,wananioa,wananiacha yani t depends na mood walio amka nayo!wanaamua tu

0 comments:

Post a Comment