Thursday, November 28, 2013

HAWA NDIO WACHEZAJI WA YANGA WANAOWEZA KUONDOKA KWA MKOPO DIRISHA DOGO.

Kocha wa Yanga, Mholanzi Ernie Brandts ameweka wazi nia yake ya kutaka kupunguza Wachezaji watano katika Kikosi chake kwa lengo la kupunguza
gharama za uendeshaji katika Klabu.Ingawa moja kwa moja Kocha huyo hakutaja kwa majina vijana ambao wanaweza kupunguzwa katika Kikosi hicho lakini ,kutokana na uzoefu na uchambuzi wa baadhi ya wanasoka wanauhakika kabisaa kuwa Vijana hawa ndio watakaopunguzwa katika Kikosi cha yanga
 
wachezaji hao ni;   Hussein Javu ,Shaban Kondo,Ibrahim Job na Said Bahanuzi.

0 comments:

Post a Comment