Friday, November 29, 2013

HUYU NDIYE MCHEZAJI WA MANCHESTER UNITED MWENYE UMRI MKUBWA NA UWEZO MKUBWA UWANJANI.

Kwa jina anaitwa Ryan Joseph Giggs alizaliwa Miaka Arobaini iliyopita  Tarehe 29 Mwezi wa kumi na moja katika Mwaka1973 ndipo mchezaji huyu wa
Manchester United alizaliwa ambapo leo katika Tarehe ile ile ameweza kutimiza Miaka 40 toka amezaliwa.

Mpaka sasa Mchezaji huyu amecheza Misimu 24 na kadili miaka yake inavyozidi kwenda ndipo anazidi kuwa imara katika kazi yake ya Soka.
Happy Birthday Giggs

0 comments:

Post a Comment