Wednesday, November 27, 2013

SHILOLE AELEZA SABABU YEYE KUMWAGA LADHI STEJINI

Msanii wa Filamu na Bongo Flava Shilole ambaye anafahamika zaidi kama Shilole Kiuno leo kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika segment ya KIKAANGONI
LIVE msanii huyo ameeleza sababu kubwa inayomfanya kufanya kufuru awapo stejini kwa kuvaa nusu Uchi na kufanya majonjo stejini kiasi cha kuwadatisha Mashabiki.

Muziki ni furaha hivyo napenda kufanya Jambo au Kitu mashabiki wangu waweze kufurahi na si Kingine”


Kutokana na Majonjo ya Shilole na namna anavyofanya Stejini watu wengi wanaonesha kutopenda na kudai kuwa yeye kama Kioo cha Jamii hapaswii kufanya hivyo kwani kufanya hivyo ni sawa na kuwashawishi watu wengine kuiga hicho akifanyacho ambacho kinakwenda kinyume na maadili ya Kitanzania.



0 comments:

Post a Comment