Wednesday, November 27, 2013

BOB JUNIOR ALIZWA KUAMBIWA ANATOKA NA VANESAMDEE

Rais wa Masharobaro Bob Junior ambaye siku za karibuni ameachia Wimbo wake mpya aliomshirikisha Msanii Vanesa Mdee ameonesha kuumizwa na kulizwa na
kitendo cha magazeti ya Udaku kuandika Stori kuwa amemuacha Mkewe ili Kutamba na Penzi jipya la Msanii Mwenzake Vanesa Mdee.

President of Sharobaros ameandika ujumbe ambao ulisomeka hivi
hichi ndicho walitaka kusema haya msha sema kingine kipi???? 

Lakini chanzo cha Produza huyo kuandika ujumbe huu ni kutokana na moja ya gazeti Pendwa kutoka na Habari kati8ka ukurasa wa kwanza aliyokuwa ikisomeka hiviiiii


0 comments:

Post a Comment