Thursday, November 21, 2013

PETER MSECHU AINGIA BIFU NA NEY WA MITEGO-AMBIWA ATATEMBELEA BAJAJI MPAKA AKOME

Msanii Peter Msechu ameingia Bifu na Mkali Ney wa Mitego baada ya Msechu kumponda Ney wa Mitego kutokana na Wimbo wake mpya Unaokwenda kwa jina
la Nakula Ujana ambao umefanywa chini ya Maproduza wawili Marko chali na Mr T Touch.

Kwa Mujibu wa Peter Msechu amemchana Mkali huyo wa Hip Hop na kumwambia kuwa muda si mrefu ataimba mpaka Mduara kutokana na kuikacha Hip Hop hivyo alizidi kudai kuwa akiendelea Mwisho wa siku atakuwa Hata Mnenguaji wake katika Band yake.

Hapo Ndipo likazuka Zogo la kutoleana maneno kama Uonavyo wewe hapa Chini.


0 comments:

Post a Comment