Thursday, November 21, 2013

P SQUARE KUTUA TZ LEO

Mkali Peter na Mwenzake Paul ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P Square kutoka pande za Nigeria wanatarajia kutua Leo Tanzania huku wakiwa
wameambatana na Band yao kwa ajiri ya Show itakayofanyika Siku ya Jumosi Viwanja vya Leaders Club.

Wakali hao ambayo wanategemea kudodosha Show Ya Kibaba takribani kwa masaa Mawili mfululizo kwa kushusha Hits Song watasindikizwa na wasaniii Wanne kutoka Tanzania ambao ni Prof JAY,Lady Jaydee,Ben Paul Pamoja na Mwamba wa Kaskazini Joh Makini Mweusi.

0 comments:

Post a Comment