Monday, November 18, 2013

JUMANATURE NA MIKE TEE KURUDI KIVINGINE

Wakali ambao waliweza kufanya poa katika Tasnia ya Bongo Fleva Namzungumzia Juma Nature pamoja na Mike Tee wamerudi Studio na kuivisha
Ngoma Nyingine mpya itakayo kwenda kwa jina la Ulioniona sina Maana.
Kwa mujibu wa Mike Tee amedai Ngoma hiyo itaachiwa Tarehe 1 kama ambavyo alitoa ahadi ya kutoa Ngoma kila mwezi.
Juma Nature na Mike Tee tumerudi tena studio kutengeneza hit singo nyingine itakayotoka tarehe moja kama nilivyotoa ahadi itaitwa "Uliniona Sina Maana"

0 comments:

Post a Comment