Wednesday, November 6, 2013

ALI KIBA NI KIBOKO YA DIAMOND PLATNUM SHUHUDIA HIKI

Ali Kiba 4 Real Mkali ambaye ameanza kufanya poa sana katika Muziki wa Bongo ambaye anatamba na Ngoma kali Leo amepambanishwa na Mkali Diamond
Platnum ambaye anatamba kwa sasa na Ngoma yake ya My Number 1 na kutamba kwa sana kwenye mitandao ya kijamiii kwa stori mbalimbali na matukio yanayomfanya azidi kuzungumziwa mara mara midomoni mwa watu na jina lake kubaki katika Kumbukumbu za watu wengi.


Ingawa Alli Kiba amekuwa kimya sana katika Game kwa muda mrefu na kutopata Promo kubwa anayoipata Diamond Platnum lakini katika Ali Kiba amemgalagaza Platnum kwa kuwa na mashabiki wengi wanaomkubali na kukubali kile ambacho anakifanya.

East Africa Radio kupitia kupitia Ukurasa wake wa Facebook waliweka Swali >Yupi mkali wa sauti na kutunga mashairi kati ya Ali Kiba na Diamond?Ali Kiba V/S Diamond .

Hizi ni baadhi ya Post za wachangiaji wa Mada hiyo.

ENDELEA KUFUATILIA WACHANGIAJI WENGINE WAMESEMA NINI HAPA


0 comments:

Post a Comment