Tuesday, November 5, 2013

AFANDE SELLE AMEKANA KURA PESA YA MH ZITTO KABWE

Afande Selle King ambaye amepiga kambi Mjini Morogoro huku akifanya shughuli za muziki na mambo mengine amefunguka kupitia Ukurasa wa Facebook wa East
Africa Radio na kudai kuwa Pesa alizopewa na Mh Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe Dollar 1000 amezitumia kufanyia Video ya Wimbo wake huo mpya ambao utatoka siku si Nyingi.

Mkali huyo aliendelea kufunguka kuwa Pesa hiyo aliitumia kutengeneza Video lakini pesa nyingine aliitumia katika mambo yake mengine ya msingi.

Kitu mhmu kwa mtu muelewa ni kusubiri video itoke ktk ubora wake kwa kuwa mchango wa zito ni mhmu sana lkn pia kwa kuwa mzk ni kaz yangu/maisha yangu vd ni sehem ya wajibu wangu hata nisingepata mchango wa mh zzk kwa kuwa ktk maisha yangu ya mzk nina vd nyingi tu na huo ni utaratibu wa kawaida ktk mzk na kiukweli zito kachangia dola 1000 lkn garama halis za vd yangu zimezid hapo na hilo lipo ndani ya uwezo wangu.

0 comments:

Post a Comment