hazikuuzwa ambazo ni 90 za VIP A, 40 za VIP B na moja ya VIP C.
Kila klabu imepata mgawo wa Sh milioni 123 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni Sh milioni 76.3. Mgawo mwingine wa mapato hayo ni asilimia 15 ya uwanja Sh milioni 62.5, tiketi Sh milioni 7.3, gharama za mechi Sh milioni 37.5, Kamati ya Ligi Sh milioni 37.5, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) Sh milioni 18.7 na DRFA Sh milioni 14.5
Source:Champion
Gazeti






0 comments:
Post a Comment