Wednesday, October 2, 2013

HIZI NDIYO NJIA KUU 3 ZINAZOWEZESHA WIZI MKUBWA NA RUSHWA KUBWA.

Katika kumbukumbu Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dr Reginald Mengi amewahi kutoa kauli kuwa katika mambo makubwa yanayosababisha wizi
mkubwa wa Pesa na Rushwa katika Sekta mbalimbali ni kama haya.
1.Mikataba Mibovu

2.Mikataba ya Siri

3.Manunuzi ya Umma.

Hivyo taifa letu la Tanzania linaumia sana katika mambo haya makuu matatu ambayo ndiyo yamekuwa chanzo cha matatizo mengi katika Jamii tunazoishi na Taifa letu kiujumla.



0 comments:

Post a Comment