Wednesday, October 30, 2013

BOB JUNIOR BAADA YA KUACHA MKE AMEKUJA NA BASHASHA NA VANESSA MDEE

Rais wa Masharobaro Tanzania Bob Junior ambaye ametangaza rasmi kuachana na Mkewe aliyedumu naye katika Ndoa ndani ya Miezi Sitta na kufanikiwa kupata
mtoto mmoja amekuja na Ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Bashasha ambamo ndani yake Vanessa Mdee amehusika kuleta Bashasha za Kisharobaro.
Isikilize na kuweza ku Download Ngoma hiyo hapa

0 comments:

Post a Comment