Tuesday, September 3, 2013

WANACHEZA VIDEO ZA UCHI WAKANUNUE NGUO-YOUNG D

Msanii Young Dar es salaam alimaarufu kama YOUNG D amefunguka leo kuwa Wadada na Braza men wa Town ambao kwa sasa wamekuwa wakijihusisha na utengenezaji wa Video za Ngono ,ambazo zimekuwa zikizagaa kama...!
njugu mitaani kuwa wanafanya hivyo ili tu wapate pesa ya kwenda kununulia Nguo za Kuvaa na waendane na mabadiliko ya Dunia.

Hayo ameyasema Leo kupitia Mtandao wa Kijamii Twitter “Hata mcheza video za uchi pia anatafuta hela akanunue nguo....lol”

Najaribu kujiuliza kama hili alilolizungumza Young D linaweza kuwa na uhalisia inamaana dhamani ya utu inaweza fananishwa kwa dhamani Mavazi au muonekano? Jibu utakua nalo Msomaji .

Lakini siku zote tutambue kufanya Video za Ngono ni kujiharibia sifa zako katika Jamiii na kupoteza fursa nyingi ambazo zilipaswa kufunguka kwako kwa dhamani yako.

0 comments:

Post a Comment