Tuesday, September 3, 2013

SIJAOA SABABU HAJAPATIKANA ANAE NI FAA-MASANJA MKANDAMIZAJI

Msanii maarufu wa Maigizo hapa Tanzania aliejaliwa kuwa na Vipaji vingi nje ya Uigizaji anoufanya ambae ni mzawa wa Ubaruku Mbarali Emmanuel Isaya Masanja Mkandamizaji leo amefunguka kuwa mpaka sasa hajaweza kuoa sababu hajapata mtu anae mfaa.......?


Msanii huyo amefunguka maneno hayo katik ukurasa wake wa Twitter alipoanzisha Utaratibu kwa Fans wake kumuuliza maswali na kisha yeye kuyajibu swali ambalo lilinivutia ni lile lililotoka kwa Msanii anaetamba na Filamu yake ya Foolish Age Lulu Michael ambae yeye alimuuliza swali kuwa ataoa lini?

"@mkandamizaji unaoa lini!?" #AskMasanja”ubarikiwe”


Haikuchukua muda Masanja alikandamiza Jibu lake kwa Mrembo huyo kuwa akitokea tu anayefaa hata leo naona

@mkandamizaji: Mwanawane akitokea tu anayefaa hata leo naoa. >>RT@hotlulumichael:



Mbali na Hilo Msanii huyo aliulizwa swali na mtu mwingine ambaye yeye alitaka kujuwa Role Model wake ni nani katika Ulimwengu huu ambapo Mchungaji mtarajiwa alikandamiza jibu lake kuwa Role Model wake yeye ni Mama yake Mzazi, Dave Chapelle kwani anakipaji na haogopi mtu. (ana kipaji na haogopi mtu)








0 comments:

Post a Comment