Tuesday, September 3, 2013

JAMAL MALINZI ,ATHUMANI NYAMLANI WAPETA SHAFFI DAUDA AKWAMA.

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Imetangaza matokeo ya Usaili ya waaombaji uteuzi wa Uchaguzi utakaofanyika Oktoba 30,Kamati kuu ya Uchaguzi imewapitisha Wagombea wawili...!
Athumani Nyamlani na Jamal Malinzi kuwania nafasi ya Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Pia kamati kuu ya Uchaguzi wa TFF imempiga chini Shaffi Dauda aliekuwa akiwania nafasi ya Ujumbe


0 comments:

Post a Comment