Ingawa
mpaka sasa haijafahamika mtuhumiwa huyo amewezaje kuwa na Sare za
Jeshi la Wananchi ikiwa yeye si Mwanajeshi wa Jeshi hilo na
hajafahamika yeye anamatumizi gani nazo Sare hizi lakini kwa kuwa
yupo chini ya Jeshi la Polisi tunaimani kuwa Tutapata Majibu ya
Kutosha na yenye kukidhi haja.
Tuesday, September 3, 2013
HIZI NDIZO SARE ZA JESHI LA WANANCHI ZILIZOKAMATWA KIGAMBONI ZIKIMILIKIWA NA MWANAMKE ASIYE MWANAJESHI
2:55 AM
No comments
Jeshi
la polisi kanda maalum ya Dar es salam limemkamata Mwanadada
Saida Mohamed Mkazi wa Kigamboni akiwa na sare mbalimbali za jeshi la
wananchi .







0 comments:
Post a Comment