Monday, September 30, 2013

MACKMALICK KITAMBO SI KIREFU TUTAKUWA PAMOJA-AFANDE SELE

Baada ya kupata taarifa juu ya Kifo cha msanii Mack Malick ambae alikuwa msanii wa Bongo Fleva na mtayarishaji wa muziki wa Bongo katika Studio mbalimbali Afande Sele amefunguka na kusema kuwa Kitambo si kirefu watakuwa pamoja akimaanisha mbele yake nyuma yetu ni sisi.

Kitambo si kirefu tutakua pamoja, mbele yako nyuma yetu.
Mungu akulaze pema, Amin'
Msanii Mack Malick alimaarufu kama Mack 2 B amefariki asubuhi siku ya leo baada ya kusumbuliwa na matatizo ya kuvimba miguu na matatizo ya figo yaliyokuwa yakimsumbua.
Marehemu Mack 2 B atazikwa siku ya kesho.

0 comments:

Post a Comment