Tanzania
ambayo mwezi uliopita ilikuwa katika nafasi ya 128 duniani kabla ya
kuchapwa 2-0 ugenini Gambia katika mechi ya kukamilisha ratiba ya
kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia, imepanda kwa nafasi moja hadi
ya 127 duniani.
Vinara
wa kundi la Tanzania katika mbio za kufuzu kwa Kombe la Dunia 2014,
Ivory Coast, ambao wametinga kwenye timu 10 zitakazocheza mechi za
'kapu' za kuamua timu tano za kwenda Brazil, wameendelea kutisha
Afrika.







0 comments:
Post a Comment