Kwa
mujibu wa Jeshi la Wananchi Tz kupitia Account yake ya Twitter
limetangaza hali ya utayari kijeshi katika Jeshi la Kulinda Amani
Tanzania JWTZ na kusema kuwa hali hiyo imepanda kutoka Asili 25%
ambayo huwepo Nchi iwapo katika Amani na Utulivu.
Kwa
mujibu wa Mtandao wa Kijamii wa Twiteer ambao ni Jeshi
la Wananchi Tz
@JW_TZ
umetoa taarifa kuwa kwa sasa Nchi ipo katika Utayari wa Kijeshi kwani
wameahirisha likizo zote za wanajeshi wa Tanzania na wale waliopo
likizo wameamriwa kurejea Makambini kwao kuwa tayari kwa lolote.
“Tumeahirisha
likizo zote za wanajeshi wetu, na waliokuwa likizo wameamriwa
kurejea, tumepandisha hali ya Utayari wa Kijeshi kutoka 25-50”
Kutokana
na Mazingira yaliyopo Asilimia za Utayari zimepanda tena kutoka ile
50 iliyotangazwa awali
“Katika
hali ya amani na utulivu katika nchi, hali ya Utayari Kijeshi huwa
kwenye 25%. Na katika hali ya vita kamili huwa ni 100%”
Jeshi
hilo limetoa kauli kuwa baadhi ya Brigedia zilizopo Tabora
zimeshapewa agizo kuwa katika hali ya Utayari kwa jambo lolote lile.
“Brigedia
za Tembo na Kifaru (Tabora) tayari zimepewa maagizo ya kuwa katika
hali ya utayari wakihitahitajika kufanya jambo lolote la kijeshi “







0 comments:
Post a Comment