Maelezo ya Baba Levo ni haya hapa
“ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia. Nilikuwa naona ni kama maigizo na mtu kutafuta kick ya kupandia .
ila leo nasema wazi DAIMOND PLATNUM amechukua korasi ya wimbo wangu niliopanga kufanyanae unaitwa SWEATY SWEATY na kuiimba kwenye wimbo wake mpya NO 1 ..
kanizungusha sana kumbe alikuwa na lengo lake...ila baridaa maisha yanasonga..”Mwisho wa Kunukuu .
kama kweli hili lipo hapa naweza kusema kweli Diamond kaiba wimbo
maana ni ubunifu wa Msanii katika Chorus ila Beat Hapana si miliki ya
Msaniii.







0 comments:
Post a Comment