Wednesday, August 7, 2013

UWANJA WA NDEGE WA KENYA UMEFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA


  Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta ( JKIA) uliopo Nairobi nchini Kenya umefungwa kwa muda usiojulikana baada ya moto mkubwa kuunguza eneo wanalotumia wageni wanaowasili uwanjani hapo.
 
 Inadaiwa kuwa, moto huo ulianza saa 11 alifajiri,

vikosi vya zimamoto na uokoaji vya mamlaka mbalimbali vimefanikiwa kuuzima, lakini hakuna ndege zinazoruhusiwa kutua au kuruka uwanjani hapo.

0 comments:

Post a Comment