Thursday, August 1, 2013

CHUCHU ZA KUNYONYESHEA WATOTO HUSABABISHA MAGONJWA NA VIFO KWA WATOTO.


Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania imetoa wito kwa wananchi na kuwataka kutotumia chupa za kulisha watoto, zifahamikazo kama chuchu za watoto.....


Wataalamu hao wamedai kuwa Chuchu hizo huwasababishia magonjwa na hatimaye vifo kwa watoto wadogo.

Wakitoa maelezo juu ya mbadala wa chuchu hizo wataalamu hao wamewashauri wazazi watumie vikombe vilivyosafishwa kwa sabuni na majimoto kumlishia mtoto, ili aweze kukuwa akiwa na afya njema.


0 comments:

Post a Comment