Monday, June 24, 2013

UKIRUSHA NAKWEPA NIKIDAKA NAKUPA NALO LA USO HICHI NDICHO ALICHOSEMA OMMY DIMPOZ LEO



Baada ya kuchezea Makopo katika show ya Kilimanjaro Tour Mjini Dodoma siku ya Jumamosi Msanii Ommy Dimpoz amedai kuwa ukirusha kopo anakwepa na akidaka anakupa nalo la uso maneno hayo Ommy ameyatoa alipokuwa akimjibu Salama Jabir walipokuwa wakizungumza katika  katika mitandao ya Kijamii muda si mrefu.
Salama Jabir hapa anamwambia Ommy Habari Ya Mjini Una Style Mpya Ya Kucheza Huku Unakwepa

Nae Ommy alimjibu Hiviii Huku Hakuna Makopo Antiii akacheka na kusema kuwa hiyo ni Makopo style ukirusha Nakwepa nikilidaka nakupa nalo la uso
Salama Jabir alimwambia Ha Ha...Huweziii,Utadakaje Wakati Unazungusha?!We Kwepa Tu,Burudani Huku Inaendelea,Ile Video Nimeona...We Mbaya.

0 comments:

Post a Comment