Huu ni ujumbe kwa wale wote ambao wamefanikiwa
kumaliza masomo na hawajapata ajira mpaka sasa.
Naomba tusikate tamaa kamwe!Tuendelee kutafuta huku tukimshirikisha Mungu katika kila hatua.
Tuelewe kwamba sio makusudi ya Mungu kukufanya usome halafu uishie kukosa ajira.
Kila kitu kina wakati wake kwani yeye hachelewi wala hawahi.
Ipo siku utafanikiwa na maisha yako yatanyooka!
Naomba tusikate tamaa kamwe!Tuendelee kutafuta huku tukimshirikisha Mungu katika kila hatua.
Tuelewe kwamba sio makusudi ya Mungu kukufanya usome halafu uishie kukosa ajira.
Kila kitu kina wakati wake kwani yeye hachelewi wala hawahi.
Ipo siku utafanikiwa na maisha yako yatanyooka!







0 comments:
Post a Comment