Wednesday, June 26, 2013

HUYU NDIE MLIDHI WA SHALOMILIONEA



Mwite jay maswagger kwa wale waliokuwa wakitizama BSS Mwaka jana mnaweza kumfahamu kwa jina la Juma ambae aliweza kufika mpaka hatua ya Top 20 katika Mashindano hayo .

Jay Maswagger ndie mlidhi wa marehemu Sharimilionea kifani kwani nae anafanya kazi ya Muziki kwa stlye ile ile alikuwa akifanya Sharo na kuonekana kuitendea haki kulingana na uwezo wake wa kuimba na kuchekesha pia.

Jay maswagger alikuwa ni rafiki na Sharomilionea kipindi ambacho bado walikuwa hawajatoka kifani lakini kwa sasa Maswagger amedodosha kichupa chake kinachokwenda kwa JIna  la YOTE MAPENZI akiwa amefanya kwa Producer C9 .


0 comments:

Post a Comment