Friday, May 10, 2013

SOUDY BROUN AMPIGIA GOTI MTANGAZAJI WA KIKE DIVA



DIVA 

Mtangazaji kutoka Redio moja hapa mjini ambae alishawahi kuwa member wa kundi East Coast Team chini ya Kamanda Mkuu KING CRAZY GK anajiita Mhariri Kutoka gazeti kuu ya Makolokocho leo amefunguka na kumuomba Radhi Mtangazaji mwenzake anaepiga nae mzigo katika kituo hicho kutokana na kitendo cha Mhariri huyo kuvujisha Siri ya MAPENZI YAKE NA CMB PREZZO kutoka nchini Kenya.

Katika mahojiano kati ya Mhariri na CMB yalionesha wazi kuwa watu hao wana mahusiano ya kimapenzi au wanatarajia kuingia katika mapenzi,maana Prezzo alikaliliwa akisema kumkosa Diva atakuwa bonge la mshamba,lakini pia ameonesha dhahiri kumuitaji binti huyo ingawa amesema hawezi kabsaa kuziba nafasi ya Marehemu Goldie kwani alikuwa na nafasi kubwa sana moyoni mwake yeye Prezzo.

Inasemekana baada ya taarifa hizi kuwafikia maraia binti huyo alikosa Raha,amani na kushinda akilia tu siku nzima ya jana hivyo Mhariri ameludi kumpigia magoti na kumuomba Radhi kwa kitendo hicho kwani hakuwa na jinsi kwakua nae alikuwa kazini

SOUDY BROWN
MY PATNER AND TEAM MATE DIVA LOVE NESS LOVE NAOMBA RADHI KWA KILICHOTOKEA JANA, NASKIA HAUKUA POA SIKU NZIMA UMELIA, BAADA YA ZILE TAARIFA KUTAPAKAA KUPITIA GAZETI, HATA MM PIA CJISKII POA TENA, AM SORRY MWENZAKO NILIKUA KAZINI, YAH ,,, NIMEKUMBUKA SENTENCE UNAYOPENDAGA KUITAMKA MARA KWA MARA LET ME QUOTE YA “BE PROFESSIONAL”

0 comments:

Post a Comment