Wednesday, May 22, 2013

IZZO B APEWA SHAVU NA MAMA MZAZI


Zikiwa zimebaki siku kadhaa kwa mwanamuziki Izzo Bussines kuwakilisha vilivyo katika viunga vya nyumbani Mbeya,Mama mzazi wa Izzo amempa shavu mwanae afanikiwe katika show hiyo atakayoifanya yeye na mkali wa wa miondoko ya Rap kutoka Morogoro Stamina.




Baada ya ujumbe huo Izzo alikalili moja ya misitari yake inayosema Baba,mama wananiombea niweze fanikiwa,hata watu wa mbeya hivyo hivyo pia.

0 comments:

Post a Comment