Msanii
wa bongo fleva NEY WA MITEGO alietamba na kazi kibao na sasa kufanya truck ya
pamoja na diamond platnum amenusurika kupigwa na mashabiki wa muziki pindi
alipokuwa akifanya show katika uwanja wa K ndege.
Msanii
huyo amenusurika kipigo hicho pindi alipokuwa akiimba wimbo aliofanya na
Diamond unaoitwa MUZIKI GANI hasa zaidi alipofika katika ile mistari isemayo
Madee na Sele bora mkaimbe TAARABU ndipo
kundi la watu liliibuka na kutaka kumpa kipigo msaanii huyo lakini hawakuweza kutimiza lengo lao hilo.
Kwa mujibu
wa chanzo cha habari alitiririka kuwa “ney
ameafanyiwa fujo na mashabiki alipofika uwanja wa k ndege na kuanza kuchana
alipofikia ile mistari inayosema madee na afande sele bora mkaimbe taarabu
ndipo kundi la mashabiki wakamvamia na kutaka kumzingua ila mpaka sasa yuko
fresh hajapatwa na tatizo lolote.”






0 comments:
Post a Comment