Friday, April 5, 2013

MABOMU TUNAYO,UWEZO TUNAO NA NIA IPO-ZITTO


Mbunge wa Kigoma Kasikazini Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa mabomu yaliyopo katika maghara ya jeshi yanalipuka kwa sababu siraha hizo hazifanyiwi kazi.
Zitto amesema hayo baada ya kuona serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ikiwa lea lea Malawi kutokana na mgogoro wa kugombea mpaka uliopo katika Ziwa Nyasa.
Zitto ameyasema hayo leo akimwambia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia njia ya mtandao wa kijamii
mnalea lea sana ninyi. Yani yani nyingi za nini? Mwambie C​oC aseme Nia...., Sababu...., Uwezo..... tunao”
akiendelea kumjuza Waziri Membe zittto aliendelea kusema kuwa wameshaanza kusema Waziri wao wa foreign chiume eti sio Mmalawi Bali Mtanzania na anakupa Siri wewe”
zitto aliendelea kumhoji Waziri huyo mabomu yanalipuka sababu hayafanyiwi kazi. Kaka hili unajua. @bernardmembe tusiyaharibu, tukayatumie.

0 comments:

Post a Comment