Tuesday, April 2, 2013

HAYA NDIYO ALIYOANDIKA BINTI MACHOZI DHIDI YA MBAYA WAKE NA REDIO YA WATU.


katika sakata linaloendelea hapa mjini kati ya mwanadada jaydee na kituo cha Redio ya cha Clouds pamoja na baadhi ya wafanayakazi wa Redio hiyo kuwa katika ugomvi wa hali ya juu wa masilahi na kuhusu muziki wa bongo.

mwanadada ladyjaydee leo aliendelea kurusha makombora kwa uongozi wa redio hiyo pamoja na wafanyakazi wake ambao hajawataja kimajina japo katika jamii wanafahamika vizuri na picha nzima leo ilikuwa hiviiiiiiiii


Aliamua kumaliza njaa zake zote humo kaka mkuu

Anaconda hawezi kuja uraiani tu akaanza kula watu hovyo, ukimuona mjini ujue walimpekenyua kwenye makazi yake hadi akawafuata. Si mlinianza

Wanune wapasuke limewakaa, wanalo hilo

Nililipia matangazo 240,000 hayakupigwa, na hela yangu hawakurudisha, sbb sijaijua ila hiyo naiita dhuluma. Mngesema tu km hamtak nsingeleta

Wanataka kuona tuna fail tunaokota makopo washangilie hamna kuwaachia

Jamani acheni maswali mengi bs tweets zote zinajielezea nyie someni mu enjoy na mtafakari. Wote mnajua namuongelea nani msijifanye hamjui

 Alimalizia kwa kusema hayaaaaaaaa

Kwa leo nakomea hapa, tarudi tena kesho na #Jotohasira haya tuongee mengine yenye kuleta raha na amani



0 comments:

Post a Comment