Wednesday, March 13, 2013

YOUNG AFRICANS WAMEINGIA KAMBINI LEO

WACHEZAJI WA YANGA 

Timu ya Young Africans leo imeingia kambini katika hosteli zilizopo makao makuu ya klabu mitaa ya Twiga/Jangwnai mara baada ya mazoezi ya asubuhi yaliyofanyika katika uwanja wa mabatini Kijitonyama,

 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya timu ya Ruvu Shooting siku ya jumamosi katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment