Thursday, March 28, 2013

WAZIRI KIGODA AKATISHA MKUTANO


Waziri wa viwanda na Biashara MH Abdallah Kigoda amekatisha mkutano kwa muda kufuatia kuzomewa na kupigiwa makelele na wananchi wa Mtwara Katika mkutano uliokuwa ukifanyika katika uwanja wa Mashujaa mjini Mtwara.

Waziri huyo ameanza kuzomewa mfululizo na wananchi hao baada ya kuona kuwa wanapewa propaganda  juu ya GAS .

Lakini hata hivyo Waziri anaendelea kuhutubia mkutano huo akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi hata hivyo Wananchi haowanaendelea kuzomea na kumpigia kelele bila kuogopa uwepo wa Polisi katika Uwanja huo.   

0 comments:

Post a Comment