| DIAMOND AKIWAFUATA FANS ZAKE |
Nikiwa mkoani Geita,Hotelini
nimepumzika
Uongozi wa Hoteli ulikuja chumbani na kunijuza kuwa kuna
Umati wa watu upo chini umezingira Geti na kuzuia baadhi ya shuguli za hoteli kusimama kwa muda wa dakika kama 45 na kitu hivi...
Umati wa watu upo chini umezingira Geti na kuzuia baadhi ya shuguli za hoteli kusimama kwa muda wa dakika kama 45 na kitu hivi...
wananchi hao walikua hapo
wakijaribu kutafuta nafasi hata ya kuniona au wakibaatika kunishika hata mkono
kabisa....kuonyesha jinsi gani nawapenda na kuwathamini mashabiki zangu
ilinibidi nishuke chini na kwenda kuwasalim na kuwapa mkono wa ijumaa karim.
| BAADA YA UONGOZI KUMCHOMOA RAISI WA WATANASHATI ANAKWENDA KUSHOW ROVE SASA |
| AKIWASABAI FANS ZAKE |






0 comments:
Post a Comment