Raisi
Barrack Obama ataitembelea Tanzania Mwezi ujao kati ya Tarehe 26-28
ataongozana na mkewe First Lady Michelle Robinson Obama pamoja na
watoto wao wawili Malia na Sasha.
Katika
safari yake hiyo Obama anatarajiwa kutembelea nchi tatu ambayo ni
Tanzania,Senegal na South Africa japo Tanzania itakuwa ndio mwisho wa
safari ya Rais huyo japo kulikuwa na tetesi kuwa angeweza kufika
mpaka nchi ya Rwanda ingawa katika taarifa rasmi haijawa chaguo kwa
sasa.
Mitandao
ya kijamii Tanzania imekuwa ikilipoti juu ya ujio wa Raisi wa
Marekani vilevile nchini South Afrika vyombo vyake vya Habarivimekuwa
vikiliripoti ujio wa Obama nchini humo .







0 comments:
Post a Comment