Msanii Fid Q ambaye
siku mbili zilizopita alihojiwa na Radio ya Uingereza BBC Kiswahili
na kuzungumzia masuala ya Rushwa huku akiwa ameonesha ni kwa
jinsi
gani Rushwa ni adui wa Haki .
Leo kupitia Mtandao
wake wa kijamii msanii Fid Q amewachana baadhi ya wadau ambao
walialikwa na Taasisi ya Kupambana na Rushwa Tanzania PCCB na
walipofika huko waliulizwa Fid Q yuko wapi na Majibu yao yalikuwa
kuwa Yupo Ulaya.
Mkali huyo ambaye kwa
sasa anatamba na siri ya Mtungi amewauliza watu hao kama wao ndio
walimlipia ViSA ya kwenda huko Ulaya,hii inaonesha wazi kabsa kuwa
Wadau hao waliamua kumficha FIQ Q Juu ya Mwaliko huo na kuamua kuuwa
soo kwa namna hiyo.
0 comments:
Post a Comment