Msanii wa Hip Hop
ambaye makazi yake ni Manzese anafahamika kwa jina la True Boy leo
amefunguka juu ya Mahusiano yako Alipoulizwa swali na Moja ya
Shabiki
wake kupitia Ukurasa wa Facebook wa EATV alipokuwa akichat Live na
Fans wake.
Fans huyo aliuliza
Kuwa kwa sasa unatoka na Demu gani na ndipo hapo mkali huyo wa
Michano alipoweka wazi kuwa anampenzi na anaitwa SIWEMA .
Moja ya swali ambalo
msanii huyu aliulizwa sana na watu wengi ni kuhusu kujiamini kwake na
kuwachana baadhi ya Wasanii kupitia muziki wake.
Na majibu ya Swali
hili kutoka kwa Ney yalikuwa kama ifuatavyo Sijiamini bali huwa
nafanya Jambo ambalo naona linawezekana kwangu kulifanya.
Katika kuzungumzia
Bifu Ney wa Mitego alikanusha kutokuwa na Bifu na msanii Peter Msechu
na kudai kuwa Peter Msechu ni rafiki yake wa karibu sana.
0 comments:
Post a Comment