Wednesday, December 4, 2013

EAST COST TEAM WAMERUDIII NA FIRE

Kundi la muziki ambalo makazi yake yapo Upanga likiongozwa na Kaka Mkubwa King Crazy GK Limerudi katika Game na kuachia Wimbo Mpya unaokwenda kwa
Jina la FIRE ambao umekutanisha Vichwa kama King Crazy 

GK,SNARE,EFFECTOR ,SHERIFF huku wakiwa wamempa shavu mwanadada TANA katika Ngoma hiyo ambayo imekuja kama Zawadi kwa Wapenzi wa Muziki wa Bongo Flava na Hi Hop.
 
Kwa mujibu wa Chanzo cha Habari Ngoma hii imemleta Kivingine tena Kaka Mkubwa King Crazy GK kitu ambacho kitafanya Mashabiki wa muziki kuelewa na kukubali kuwa EAST COST TEAM Never DIE.




0 comments:

Post a Comment