Saturday, November 2, 2013

LAANA WAJIPIGA PICHA ZA UCHI NA KUZIWEKA MITANDAONI WAPATE SOKO WACHEKI HAPA.

Baadhi ya wafanyabiashara na wabunge wameingia ‘kazi’ ya kuwanasa mastaa wa kike Bongo, hasa waigizaji wa filamu.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, wafanyabiashara maarufu wa jijini Dar na baadhi ya waheshimiwa wabunge wamekuwa wakiwaibukia mastaa wanapokuwa kambini wakirekodi filamu na kuwahonga fedha nyingi sanjari na kuwanunulia magari ya kifahari ya kutembelea. 
 
Inadaiwa wanachofanya baadhi ya mastaa, hasa wakiwa kambini, hupiga picha chafu wakiamini zina mvuto na kuzitundika BBM kwenye simu zao ambapo wafanyabiashara na wabunge hao wanapoziona huweweseka na kuanza msako wa kuwapata.

BOFYA HAPA KUTIZAMA PICHA TATU ZA WADADA HAO WA BONGO MOVIE
http://kitalima.blogspot.com/2013/11/bongo-movie-photos.html

0 comments:

Post a Comment