Kwa
mujibu wa Kampuni ya Coca-Cola ambayo ndiyo imefanikisha kwa Kombe la
Dunia Kufika Tanzania na kuwapa nafasi Watanzania kuweza kupiga nalo
picha
na kulishuhudia Live siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa.
Kombe
hilo la Dunia litaingia Uwanjani Muda wa saa 3:00 Asubuhi Mpka saa
12:00 Jioni na kutoa fursa kwa Raia wanaopenda Michezo kushuhudia
Kombe hilo na kupata nafasi japo ya Kupiga nalo Picha kama Ukumbusho
.
Hakutakuwa
na Kiingilio chochote kwenda kulishuhudia Kombe hilo na kutakuwa na
Burudani mbalimbali ambazo zimeandaliwa kwa wale watakaoweza kufika
Uwanja wa Taifa siku ya Jumamosi.
0 comments:
Post a Comment