Msanii
mkali wa Hip Hop Tanzania anayewakirisha vilivyo mkoa wa Tanga mwite
Roma Mkatoliki ambaye mpaka sasa anatamba na Ngoma yake ya 2030
ameamuwa kuvunja ukimya kwa kuachia Video yake ya Kwanza Toka
alipoanza Game.
Roma
Mkatoliki ambaye anatoa wimbo mmoja kwa mwaka mzima amedai kuwa Video
yake ya Kwanza itakuwa ni 2030 ambayo ndiyo itatambulishwa rasmi kwa
Wananchi siku ya Ijumaa hii,2030 imefanywa na Director ambaye kwa
sasa amelenga kufanya mapinduzi katika Tasnia ya Production Bongo
hususani katika Muziki kwa kufanya Vichupa Vikali.
Nisher
ndiye aliyetengeneza Video ya Jikubali ya Ben Paul pamoja na Kijukuu
ya Young D na nyingine nyingi ambazo zimefanya poa kunako Tasnia ya
muziki Bongo.








0 comments:
Post a Comment