Tuesday, October 29, 2013

MGANGA AKAMATWA NA KIGANJA CHA MTU KIKIWA BADO KIBICHI MWANZA

Jijini Mwanza jana Mganga mmoja amekamatwa na Kiganja cha Mkono wa Binadamu kikiwa ni kibichi kabisaa katika Begi lake ambapo inasadikiwa alitaka
kukiuza kwa Gharama za millioni 100 .

Kwa Mujibu wa shuhuda wa Tukio Hilo amedai kuwa watuhumiwa hao walikamatwa karibia na Uwanja wa Ndege wa Mwanza wakitaka kufanya Biashara hiyo.

Wamekamatwa karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza, walikuwa wanauziana kwa pembeni, watu na Polisi wakawakurupusha na kuwakamata wakawapekua wakakuta mteja ana 100 million na mganga ana kiganja ambacho bado kibichi kinatoa damu, kina tunguri pia na nywele za binadamu.”

Source:Jamii Forums

0 comments:

Post a Comment