Tuesday, October 22, 2013

LAANAA.. MSICHANA MWINGINE AJIPIGA PICHA ZA UTUPU NA KUZITUPIA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII...CHEKI MAPICHA HAPA!!! AIBU

Katika Ulimwengu wa Teknlojia kuna mambo mengi sasa yamekuwa yakiendelea kutokea huku tukiyashudia wenyewe au laah kuhadisiwa na watu ambao teyari yamekwisha watokea,kumekuwa na tabia ya wadada kupiga picha za uchi au nusu uchi katika simu zao,au hata katika Kamera zao kwa lengo lao wenyewe na wanakuwa wakifanya hivi wakijua wazi kabsa kuwa kitendo hicho hakikubaliki katika Jamii yetu,na pindi ikitokea jamii imepata taarifa hizi mtu huyo anakuwa katika wakati mgumu kwa kuwa amefanya jambo la aibu kwa jamii.

Wengi wao si makusudio yao kuvujisha Picha hizi kwa jamii lakini muda mwingine kuna kupotea kwa vifaa ambavyo wamefanyia kazi hiyo hapo ndipo kazi inapokuja kuanza,unabaki kujuta kwa kitu ambacho ulifanya mwenyewe pasipo kulazimishwa na Mtu.

NOTE:Mwanamke kujiheshimu na kutunza heshima yako inakujengea imani,upendo hata udhamani katika jamii lakini ukijidhalau hautodhaminika wala kuheshimika milele na daima utakuwa dalaja kuvusha wenzako kutoka Point A na kuwapeleke Point B.

(Picha kwa hisani ya Kalu G)



0 comments:

Post a Comment