Thursday, October 31, 2013

HEMEDY PHD AMEKILI KUWEKWA MJINI NA WAREMBO

Msanii ambaye amepiga kambi na kufanya kazi katika Tasnia mbili kwa wakati mmoja Hemedy kwa jina Maarufu PHD ambaye hivi karibuni ameachia Video ya
Wimbo wake mpya amefunguka na kusema kuwa watoto wazuri wa kike ndiyo wanamfanya aendelee kushine hapa Mjini Dar es Salaam.
 
Watoto wazuri wananifanya nizidi ku-shine hapa town”
 
Katika maisha ya kawaida ya kila siku kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwa watoto wa kike hata wakiume hapa mjini kwani wengi wao hufanywa mitaji na wengine hutumika kuwatunza na kuwaweka watu mjini kwa kuwawezesha kipesa.

0 comments:

Post a Comment