Friday, October 25, 2013

BAADA YA SOLOTHANG KUACHIA MDUDU FID Q AMEFUNGUKA

Msanii Msafiri Kondo alimaarufu kama Solo Thang au Travellah Leo ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa Jina la Mdudu uliofanyika Chini ya Produza
Mesen Selector huku Mr Blue akiwa amepewa shavu katika nGoma hiyo.

Baaada ya kuachia wimbo huo katika Mitandao ya Kijamaa masanii Farid Kubanda A.K.A Fid Q amefunguka na kusema kuwa katika Ma Mc Wachache Tanzania basi SoloThang ni mmoja kati yao wanaostaili Kuheshimiwa kwa ufanisi na Ubora uliopo katika Kazi zao.

SOLO THANG ni mmoja kati ya wale Ma Mc wanaostahiki HESHIMA kwa UFANISI uliomo ndani ya KAZI zao”

UNAWEZA SIKILIZA NA KUPAKUA WIMBO MPYA WA SOLOTHANG KUPITIA KIUNGANISHI HIKI http://www.reverbnation.com/solothangakatravellah/song/18980870-mdudu-by-solo-thang-ft-mr-blue

0 comments:

Post a Comment