Zikiwa
zimebaki siku Kadhaa kuisha kwa mwezi wa Kumi na kuelekea mwezi wa
Kumi na moja Ambapo kutakuwa na Show Kubwa Ya Psquare kutoka Nigeria
siku
ya Tarehe 23,wasanii wa Bongo wameanza kufunguka na kuonesha
kuwa na shauku kubwa ya kuwashuhudia wakali hao wakifanya yao
Tanzania.
Mwanamuziki
Mkongwe wa Kike Tanzania ambaye hivi karibuni amejipatia jina Jipya
la Annaconda amekili kuwa kwa mwezi huu na huo ujao huenda mwaka
mzima kuwa Show hiyo ya Psquare ndiyo Show Kubwa na kali ambayo
wanaisubili kwa hamu kwani Kazifananisha show Zingine na Kelele Tu.
"LadyJaydee(Annaconda)Kweli
mwezi huu October hakuna show yoyote kubwa ya maana hapa mjini Dar.
Makelele tu, show kubwa inapigiwaje PA?? Tunasubiri P Square tu"
Naye
mkali wa miondoko ya Hip Hop ambaye amekwisha Hit na Ngoma kibao huku
akiwakilisha Mkoa wa Iringa katika Game Mike Tee ambaye kwa sasa
anafanya kazi ya muziki na kazi zingine ambazo zinafafa na kipaji
chake ukiachilia mbali biashara zake.
Mkali
wa Nyaruland amefunguka Mapenzi yake juu ya wakali hao wa Nigeria
ambao watatimba Tarehe 23 na kufanya Tamasha kwa masaa mawili
mfululizo wakiwa na Band yao.
"Mike
Tee (Mnyaru)@PeterPsquare its Mike Tee from Tanzania am the biggest
Fan also the Artist am waiting for u guys"







0 comments:
Post a Comment